Monday, June 14, 2010

GAMES GAMES GAMES

my aunty Caro and cousin Joshua with Barney
winnie the pooh with Dereck,Elsa and Malaika

aunty Nargis playing along with us


Cornel and I jumping



my friend Owami doing her thang




4 comments:

  1. Hi mamy Sallyrose jamani mwano mzuri nimempenda i wish ningeenza kuwekeza hapa!
    Anyway the pary was gus i like it kwani hebu niambie huko Funky ndio wapi na garama zake ni shilingi ngapi one off this day ningependa nijumuike na wanangu huko kwenye bday Tks.

    Mamy Jesca

    ReplyDelete
  2. Funky's ipo Masaki kama unaelekea ile shoppers plaza mpya ukifika pale petrol station upande wa kushoto kuna shrijee supermarket pia,funkys ipo nyuma ya hiyo petrol station hapo.
    ukienda huko unaweza kupata bei nzuri tuu inategemea na namba ya watu unategemea kualika. Tshs 12,000 per child is the minimum you will get.

    ReplyDelete
  3. Ade, hivi hapo funky's iko kwa ajili ya party tu au naweza peleka mwanangu kucheza? wenzio sie washamba ila natamani siku moja nimpeleke mtoto wangu, Je! kuna kiingilio? Najua nakusumbua nisamehe ma dear. Love u & sally

    ReplyDelete
  4. Funkys ni sehemu ya watoto kucheza kama marrybrown, unalipia Tshs 5,000 kwa kila mtoto kucheza. ni sehemu nzuri ya kuleta watoto wacheze mie napenda kumpeleka mwanangu.

    ReplyDelete