Monday, June 14, 2010

mummy feeding me cake...
a piece of cake for my dear mummy

kiss to my mama, i love her too much


my friend Owami having a taste



Shamsa tasting the cake




18 comments:

  1. Happy birthday sweet girl!May God bless you always. nice pics for sure you had lots of fun.
    keep on smilling!!

    ReplyDelete
  2. Kwenye sifa tutoe sifa, kweli God has bless you with a beautiful baby, she is adorable. Mimi ninachoona hapa kinachoendelea ni wivu. Huyo so called mke wa mzungu anapenda sifa na attention, sasa akishaona attention imehamia sehemu nyingine ndio anaacha uzungu anaopretend anao na kuwa full ghetto. Mimi sioni sababu ya kutoa ugomvi wenu kwenye blog yake na maelezo mengi unavyompigia cm na kumtext so what? Mbona yeye alikuwa anajipelepeleka kwa K.T kaka wa watu anamtolea nje lakini yeye yumo tu kang'ang'ania lakini watu tulikuwa hatusemi. Anapata kichwa na hizo comments anazojiandikia mwenyewe kwani hatujui. Move on bwana achana naye usimpe kichwa. Watu hawampendi basi tu mishauzi na uswahili umemjaa.

    ReplyDelete
  3. HAPPY 2nd BIRTHDAY CUTIE SALLYROSE, HAPPY BIRTHDAY TO YOU!! YOUR PARTY ROCK SWETIE!!

    ReplyDelete
  4. Hii ndio party ya watoto, Adelina now you talking, unajua sana kuthrow kids party, good job, i like the party, the theme, your cutie Sallyrose and happy people, keep up you rock Adelina. Congratulation on baby 2nd year

    ReplyDelete
  5. Ade hiyo Bafana Bafana umeinunua wapi???

    ReplyDelete
  6. Ukitaka kumkomesha mama kitumbo peleka copy ya kesi yako na yeye ubalozi wa Marekani, utakua umemmaliza na mambo ya visa ya marekani au greencard au uraia, hata kama umeolewa na mmarekani ukiwa na kesi polisi umekwisha watakusumbua na visa yao mpaka, hiyo ndio komesha ya wanaojifanya wajuaji wa mjini,yeye amekulaza polisi wewe mwendee ubalozini utamuharibia safari zake zote za Marekani kwa mume wake. I just say this because i care about you.

    ReplyDelete
  7. waooooh!!!! nice pictures yaani watoto wameenjoy may God bless u baby Sallyrose we ni mrembo sana and your mum loves you so much, mie mwenyewe nakupenda baby kila siku lazima nipite kwenye blog yako kuangalia updates Mungu akupe miaka mingi

    ReplyDelete
  8. Adeline ma dear, mimi nakushauri achana na mke wa mzungu, usimpeleke kokote, MUNGU ndie ajuae. ukigombana na mjinga na wewe utakuwa mjinga. So Swty, achana nae. we mtunze mwanao maisha yaendelee. Naomba mjadala nae funga kabisa mama.

    ReplyDelete
  9. Naombeni msiongelee ugomvi wowote kwenye hii blog ya mtoto,mbona hamuishwi na maneno, angalieni picha mnyamaze kama hamana cha kusema.Niliyepiga simu kwenye Birthday.

    ReplyDelete
  10. Mama Sallyrose kwa kweli hongera party ilikuwa nzuri sana maana umejua kuwaentertain hao watoto.
    Pia nimependa sana ukimya wako wewe kweli ni binadamu maana hutaki kujibizana. But najua deep inside ur heart umeumia na matusi uliyoyapata, usijali dear hayo ni kawaida. Me nakushauri we move on na life yako kama ni single mothers wako wengi saaaana hapa duniani na maisha yao ni mazuri we mkuze mwanao akitokea wa kukuoa poa asipotokea unae sally wako. Ukweli ni kwamba mwanamke mwenye mtoto hata kama ni mlemavu huwa anajivunia na mwanae. But mwanamke mwenye ndoa aweza kujidai anafuraha ndani ya ndoa yake but hana raha nayo hata kidogo. MUNGU AKUBARIKI na usilipize kisasi yaache yapite.

    ReplyDelete
  11. Adeline namsupport anony hapo juu, achana na yule limbukeni wa maisha kaona kapata sana si unajua maskini akipata, kwanza hajishangai kila wakati ye tu ndio anagombana na watu mbona wenzie hatusikii maugomvi, tatizo lake anataka attention kutoka kwa wanaomzunguka na mahauzi yake, na halafu anao watu wa kuonea mbona kama ye mgomvi hagombani na mboni navyomuona mboni alivyo atamtoa nishai hadi basi, kiboki yake Devota tu hadi kaomba ushoga urudi pale ndio kiboko yake

    Mama Karen

    Love Adeline na sallyrose wako

    ReplyDelete
  12. nawashukuru wote kwa support na comments zenu zote kuhusu mwanangu, she is my joy and strength and I love her so much.

    ReplyDelete
  13. Be wise and dont post any comment ya maugomvi yenu ukiona msg hiyo ipotezee hii ni blog ya mtoto, ni angle asiyejua lolote na asihusishwe na maugomvi yenu, mmeshakuwa akina mama na bado mna act kama watoto hebu wanawake badilikeni.

    ReplyDelete
  14. nakubaliana na wewe anonymous hapo juu. asante.

    ReplyDelete
  15. yaani hizo comment zimenifanya kulia, very touched! OMG I cant help crying, yaani ni human being ndie alikufanyia hayo yote na mtoto wako, ade dont stop praying love, pia baby sally rose akikuwa usisahau kumwambia ahyo yote yaliyompata angali mdogo, very sad!

    ReplyDelete
  16. ade,
    sikujui, hunijui..
    mimi nilianza kuona picha zako kwenye sherehe za mama mashauzi. yaani, naomba nikupe pole kwa yote yaliyotokea. ninatamani nikwambie mambo mengi sana kuhusu huu ugomvi wako na lile taahira lakini nashindwa kusema mengi kwa sababu this blog is dedicated to mtoto. kama inawezekana, naomba utoe email adress yako nikutumie email ambayo ni personal kwako. All in all, nakupa big up sana na hongera kwa maisha yako. hesabu kwamba, yale yote uliyopitia ni mapito tu, kwani bado tuko duniani, sote ni wasafiri. barikiwa mama na malaika wako sallyrose.

    ReplyDelete
  17. nimeiona blog ya mama anaeona kuolewa na mzungu ndio kawini maisha, ni yeye yule yule aliyegombana na devota, tedy now zamu yako pole sana. Limbukeni yule anapenda sana kutengeneza story, But inabidi uwe makini sana coz rafiki zake ndio rafiki zako ugomvi utachukua muda sana kuisha. Mfanye mwanao awe company yako kubwa. Nimeona kuhusu kitovu nami my DAUGHTER KAYLA pia alikuwa hivyo, niliambiwa kitarudi but nikawa naona kinachelewa kuna dokta mmoja pale muhimbili MHAYA anaitwa kamugisha akaniambia kwa hospitali hakuna dawa ila kwao BUKOBA huwa wanatibu hivi, unachukua coin ile ya shilingi moja na bundage nyeupe. Unaweka ile coin juu ya kitovu then unafunga bundage kuzunguka kiunoni ukibana ile coin kwenye kitovu ibane kwa nguvu usiogope wala haumii. KIla siku usiku after one month kitarudi kabisa. Kayla kimerudi kabisa.

    ReplyDelete
  18. mange mange mange stupid girl!!!!!!!ivi anafikiri yeye ni nani imeniuma sana kumuandika mtoto vibaya on her blog!!yeye kamuona yule mtoto wake???????siwezi kumuongelea coz mimi ni mama as well na najua uchungu wa mtoto.kama yeye ni mstarabu angejifunza kuwa organised kwanza na angeacha uchafu.msichana mchafu sijawahi ona me im wondering mzungu kafata nini!!!big up mama sally!hunijui sikujui ila nimekujua kupitia blog ya mange alivoanza kukuandika imeniuma sana hasa kuhusu mtoto kwanza yeye hapaswi kuandika hivo vitu ukizingatia shes pregnant hujui unaenda kutoaa nini huko!!anasahau kama kuna mungu ana akiamua lake halirudi nyuma kamwe!!!!!!!!!

    ReplyDelete